June 16, 2017




Mshambuliaji mpya wa Yanga, Ibrahim Ajibu, hataipata jezi aliyokuwa anaitumia Simba.


Tayari ameshauriwa kutafuta namba nyingi na si 23 ambayo inatumiwa na lejendari wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’.

Ajibu amesaini Yanga miaka miwili na usajili wake umezuia gumzo huku ukiamsha morali ya Wanayanga ambao walionekana kukata tamaa wakati Simba ikisajili mfululizo.

Jezi namba 23 upande wa Yanga tayari inaonekana ina mwenyewe. Cannavaro anajulikana kama “Baba Mwenye Nyumba”.


Hii inatokana na kuwa Yanga kwa muda mrefu pia ni kati ya manahodha wa muda mrefu.

1 COMMENTS:

  1. Mikia siku zote huja kwa mbwembwe lkn mwishowe cjui hupotelea wapi, mimi nawashauri wakalipe machozi ya mafisango na siang'a

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic