June 20, 2017



Imani Madega amesema kurejesha kwake fomu ya kugombea Urais wa TFF inaonyesha yuko tayari.

Madega amekuwa kati ya watu wa kwanza kurejesha fomu kuwania nafasi ya urais.

Uchaguzi wa TFF umepangwa kufanyika Agosti 12 mjini Dodoma.

“Kila kitu kinakwenda vizuri, nimerudisha fomu na hii inaonyesha kweli niko makini kuhusiana na hili. Sitazungumza sana hadi wakati wa kampeni,” alisema.


Madega atachuana na Jamal Malinzi anayeshikilia kiti hicho, Athumani Nyamlani, Shija Richard pia Wallace Karia.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic