June 14, 2017


Manchester United imeamua kuimarisha kikosi chake hasa katika safe ya ulinzi baada ya kumsajili beki kisiki aliyekuwa anakipiga Benfica, Victor Lindelof.

Timu hiyo ya Ureno imelamba pauni million 30.7 kumuachia LIndelof aria Sweden.

Kocha Jose Mourinho wa Man United alisema iwe isiwe, lazima ampate beki huyo mwenye umri wa miaka 22.



MJUE LINDELOF  
Amezaliwa: July 17, 1994 in Vasteras, Sweden (age 22)
Urefu: 6ft 2in
Nafasi: Centre-back / Right-back


REKODI ZAKE KWA TIMU
2010-2012: Vasteras  Mechi 41, Mabao 0 
2012-2016: Benfica B Mechi 96, Mabao 4
2013-2017: Benfica Mechi 73, Mabao 2
2017-: Manchester United 


REKODI ZAKE TIMU YA TAIFA

2016-: Sweden Mechi 12, Bao 1 


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic