June 15, 2017





Floyd Mayweather amerejea tena ulingoni baada ya kuwa ametangaza rasmi kustaafu.

Mayweather ambaye hajawahi kupigwa atapanda ulingoni kuzipiga dhidi ya McGregor ambaye ni bingwa wa mchezo wa ngumi na mateke.

Pambano la ngumi la wawili hao litapigwa Agosti 26 jijini Las Vegas nchini Marekani.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic