June 15, 2017


Kiungo Ally Shomari ni mali ya Simba baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili.

Shomari amesaini Simba jana na hivi ndivyo zoezi la kusaini na kukabidhiwa jezi lilivyokuwa.

Kiungo huyo mwenye uwezo wa kucheza namba 2, 7, 6, 8, 10 na 11 anaonekana ndiye atachukua nafasi ya Ibrahim Ajibu anayekwenda Yanga.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic