July 26, 2017


Salim Mbonde na Muzamiru Yassin ni kati ya wachezaji wa Simba walioanza mazoezi na kikosi hicho.

Samba ipo kambini jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini ikijiandaa na msimu mpya.


Mbonde pamoja na Muzamiru wamejiunga na kikosi hicho wakiongozana na Shiza Kichuya na John Bocco baada ya kuwa wamemaliza majukumu ya kuitumikia Taifa Stars katika michuano ya kuwania kucheza Chan ambayo wametolewa na Rwanda.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic