July 25, 2017



Kikosi cha Rayon Sports cha Rwanda ndicho kitakachocheza na Simba katika mechi ya Simba Day kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kawaida tamasha hilo hufanyika Agosti 8. Rayon imekubali kushiriki tamasha hilo maarufu la Simba Day ambalo hufanyika mara moja kila mwaka.

Nchini Rwanda, Rayon ndiyo timu yenye mashabiki wengi zaidi ikifuatiwa na APR ambayo inamilikiwa na jeshi.


Kwa misimu miwili iliyopita, Rayon imeonyesha kiwango kizuri kisoka na kufanikiwa zaiid ya APR.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic