July 23, 2017


Hatimaye Wayne Rooney amerejea nchini England na kikosi kizima cha Everton baada ya mzunguko mrefu wa ziara za mechi za kirafiki kujiandaa na Ligi Kuu England.

Shabiki mmoja wa Man United alimvaa Rooney licha ya kuwepo kwa askari na kuomba kufiga naye picha kwa mtindo wa selfie.

Shabiki huyo aliyekuwa na jezi ya Man United alishindwa kujizuia na Rooney hakufanya ajizi, alishirikiana naye vizuri kabisa.

Everton ilianza ziara yake nje ya England kwa kucheza na Gor Mahia jijini Dar es Salaam, ikapaa hadi Uholanzi kabla ya kumalizia ziara hiyo Ubelgiji ambako ilicheza na timu ya Genk anayoichezea Mtanzania Mbwana Samatta.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic