July 24, 2017




Manchester United imeshinda kwa penalti 2-1 dhidi ya Real Madrid katika mechi za michuano ya ICC iliyopigwa jijini California, Marekani.

Ndani ya dakika 90 timu hizo zilimaliza kwa sare ya 1-1 baada ya Jesse Lingard kutangulia kufunga na baadaye Casemilo akaisawazishia Madrid.

Mechi hiyo ilikuwa ikirushwa moja kwa moja kwenye king;amuzi cha StarTimes.

REAL MADRID (4-3-3): Navas; Carvajal (Hakimi 46), Varane (Quezada 46), Nacho (Manu 46), Marcelo; Modric (Kovacic 46), Kroos, Isco (Oscar 46); Vazquez (Hernandez 46), Benzema (Gomez 46), Bale (Franchu 46). Subs: Tejero, Gomez, Casilla, Mayoral, Zidane, Yanez.
Scorer: Casemiro 69 pen


MAN UTD (4-1-4-1): Romero (De Gea 46); Fosu-Mensah (Blind 46), Bailly (Smalling 46), Jones (Lindelof 46), Darmian (Valencia 77); Carrick; (Pogba 46) Lingard (Mkhitaryan 46), Fellaini, A Pereira (Herrera 46, McTominay 52), Martial; Rashford (Lukaku 46). Subs: Tuanzebe, J Pereira, Valencia, Mitchell.
Scorer: Lingard 45
Referee: Kevin Stott












0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic