August 25, 2017



Kiungo mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi, ameibuka na kusema kuwa kiungo mwenzie Mnyarwanda, Haruna Niyonzima kiwango anachokionyesha uwanjani kitasaidia kuwapa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu huu utakapoanza kesho.

Ligi Kuu Bara inatarajiwa kuanza kesho Jumamosi ambapo Simba itafungua pazia dhidi ya Ruvu Shooting kwenye Uwanja wa Taifa, Dar.

Okwi amesema kuwa Niyonzima, kwa uwezo wake alionao, atawasaidia mbio hizo za ubingwa kutokana na uzoefu wake na kuwa bado yupo katika kiwango bora.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic