August 21, 2017

Kikosi cha Simba kimeondoka mjini Unguja kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya maandalizi ya mwisho kabla ya kuivaa Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Watani hao wanakutana Jumatano katika mechi ya Ngao ya Jamii kwenye uwanja huo mkubwa zaidi nchini.

Simba imeondoka na kikosi chake kamili, ukiwa ni mwendo wa dakika 20 tu kuvuka bahari ya Hindi hadi jijini Dar es Salaam, jiji kubwa zaidi lililo Mashariki mwa Tanzania Bara.

WACHEZAJI WA SIMBA WAKIINGIA KWENYE UWANJA WA NDEGE WA ZANZIBAR TAYARI KWA SAFARI YA KWENDA DAR ES SALAAM.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic