September 11, 2017

WASANII wa Bongo Fleva ambao pia wamekuwa wapenzi kwenye mahusiano yao kwa miaka kadhaa huku wakidai kuachana hivi karibuni, Juma Jux na Vanesa Mdee ‘Vee-Money’ juzi Jumamosi walikutana pamoja kwenye Jukwaa la Shoo ya Fiesta iliyofanyika mkoani Arusha.
Baada ya kushuka jukwaani, Jux na Vee Money kila mmoja alikuwa alikuwa na haya ya kusema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic