September 17, 2017


Unaweza kusema Bayern Munich baada ya kuichapa Mainz kwa mabao 4-0 huku mshambuliaji wake, Robert Lewandowski akifunga mawili.

Ilionekana kama Bayern wanasuasua katika Bundesliga lakini ushindi huo unaibua matumaini kwao na mashabiki wao kwamba wanaweza kufanya vizuri sasa.

Wangeweza kushinda kwa mabao mengi lakini walishindwa kutumia nafasi nyingi walizopata.


Lewandowski alikuwa anacheza mechi yake ya 100 ya Bundesliga wakati wa ushindi huo.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic