OWKI HUYU HAPA AKILAMBA SH MILIONI MOJA YAKE SWAAAFIIII Mshambulizi Emmanuel Okwi amekabidhiwa kitita chake cha Sh milioni moja yake. Sh milioni moja hiyo baada ya kuibuka Mchezaji Bora wa Ligi Kuu Bara mwezi Agosti. Vodacom ambao ni wadhamini wa Ligi Kuu Bara ndiyo waliotoa zawadi hiyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment