September 26, 2017






Pamoja na kuwa ataukosa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mtibwa Sugar, kiungo Papy Tshishimbi ameendelea kujifua kama kawaida.

Thshishimbi raia wa DR Congo ataukosa mchezo dhidi ya Mtibwa Sugar wakati Yanga ikiivaa timu hiyo Jumamosi ijayo.

Lakini Mkongo huyo ameendelea na mazoezi kama kawaida utafikir ni mtu mwenye mechi wiki ijayo.

"Kweli, Tshishimbi amekuwa akiendelea kujifua kuhakikisha anakuwa vizuri atakaporejea. Lakini anafanya hivyo kuhakikisha hapotezi ile hali yake ya kuwa fiti," kilieleza chanzo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic