Mshambuliaji John Bocco sasa uhakika ataikosa mechi Njombe mji wikiendi ijayo.
Bocco aliumia katika mechi iliyopita wakati Simba ikiivaa Mtibwa Sugar na kupata sare ya bao 1-1.
Bocco alitolewa nje na nafasi yake kuchukuliwa na Juma Liuzio katika mechi hiyo ambayo Simba walipata bao la kusawazisha katika dakika za nyongeza.
0 COMMENTS:
Post a Comment