October 21, 2017


Nyota wa zamani wa timu ya mpira wa kikapu ya LA Lakers, Kobe Bryant ametembelea mazoezi ya PSG mjini Paris.

Gwiji huyo wa mpira wa kikapu kutoka nchini Marekani, alipata nafasi ya kuwatembelea wachezaji kama Neymar, Lucas, Moura, Kylian Mbappe na Edinson Cavani.

Kobe pia alipata nafasi ya kupiga picha na wachezaji wengine waliokuwa mazoezini hapo.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic