Pamoja na Simba kuitwanga Njombe Mji kwa mabao 4-0, Mtibwa Sugar na Lipuli ni kati ya timu zilizoibuka na ushindi leo.
Mtibwa Sugar ikiwa nyumbani imeshinda kwa bao 1-0 dhidi ya timuj ngumu ya Prisons na Lipuli imeitwanga Majimaji kwa bao 1-0 pia.
Wakati Azam FC iliyokuwa jijini Mwanza, imeambulia sare nyingine Kanda ya Ziwa baada ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Mbao FC.
Wakati Azam FC iliyokuwa jijini Mwanza, imeambulia sare nyingine Kanda ya Ziwa baada ya kutoka sare ya bila kufungana dhidi ya Mbao FC.
MATOKEO:
Mtibwa 1-0 Prisons
Lipuli 1-0 Majimaji
0 COMMENTS:
Post a Comment