October 18, 2017



Klabu ya Mbao FC imeingia kwenye orodha ya klabu zinazomiliki usafiri wake.

Mbao FC leo imekabidhiwa basi na wadhamini wake kampuni ya GF Trucks & Equipment LTD.

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Angella Mabula ambaye amekuwa akiunga mkono michezo katika mkoa wa Mwanza alikuwepo kukabidhiwa.








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic