Mshambuliaji nyota wa Barcelona, Lionel Messi anatarajia kupata mtoto wa kiume.
Hii ni baada ya kuwekwa wazi kwa mara ya kwanza kwamba mkewe, Antonela Roccuzzo ana ujauzito wa mtoto wa kiume.
Tayari Messi na Antonela wan a watoto wawili wote wa kiume.
Messi na mkewe walianza uhusiano tokea wakiwa shuleni.
0 COMMENTS:
Post a Comment