Washindi waliopatikana katika shindano la SHINDA NA SPORTPESA sasa wamefikia watu 9 kati ya 100.
Ephairm Alexander Kisona wa Ludewa mkoani Njombe ndiye amekuwa mtu wa tisa kushinda Bajaj.
Shindano hilo linaendeshwa na kampuni kubwa zaidi ya michezo ya kubashiri nchini ya Sportpesa Tanzania ambayo imeamua kurudisha inachopata kwa wateja wanaoshiriki kubashiri.
Hadi sasa ni Bajaj 9 ambazo zimetolewa kwa washindi, maana yake zimebaki Bajaj 91 zinazowaniwa.
Namna gani unacheza?
ReplyDelete