November 16, 2017






Klabu ya Singida United, imemtoa kwa mkopo mshambuliaji wa Simba, Paschal Athanas.

Simba imemtoa Athans kwenda kuichezea timu yake ya zamani ya Stand United baada ya kupata ruhusa kutoka Simba.




Singida United walimchukua Athans kwa mkopo kutoka Simba lakini amekuwa hachezi na Stand United wakaamua kumuomba awaongezee nguvu.



Kwa kuwa ni mchezaji wa Simba, Singida United waliamua kufuata utaratibu wa kuwaomba Simba ambao wamekubaliana na hilo.

Baada ya Athanas kutua Simba alionyesha cheche katika mechi moja tu lakini baada ya hapo, alionekana kuporomoka na hata alipopata nafasi alishindwa kuonyesha kilichotegemewa na wengi.

2 COMMENTS:

  1. I wanted to thank you for this excellent read!! I definitely loved every little bit of it. I have you bookmarked your site to check out the new stuff you post. Http://brsm.io/Buy-youtube-subscribers/

    ReplyDelete
  2. Hello! when I was developing my blog on instagram I came across a great blog. He talks about what is buying followers and likes on instagram and how to use it. it helped me a lot, I still use it Instagram free followers

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic