Ikiwa inacheza mechi yake ya 12 ya Bundesliga, Borussia Dortmund imepoteza mchezo wake wa nne.
Dortmund ikicheza bila ya mshambulizi wake nyota, Pierre-Emerick Aubameyang imepigwa 2-1 dhidi ya Stuttgart.
Mechi hiyo ilikuwa inarushwa moja kwa moja kupitia king'amuzi cha StarTimes kinachoshika umaarufu mkubwa kwa sasa katika masuala ya michezo.












0 COMMENTS:
Post a Comment