MAZOEZI YA MWISHO YA YANGA KABLA YA KUIVAA MBAO FC JUMAPILI HAYA HAPA Kikosi cha Yanga kimefanya mazoezi yake ya mwisho kabla ya kuivaa Mbao FC Jumapili jijini Mwanza. Yanga walifanya mazoezi mepesi na inaonekana kesho watafanya mazoezi yao ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
0 COMMENTS:
Post a Comment