ANGALIA PICHA ZA MAPOZI, AUBAMEYANG AKIJIDAIIIIII NA UZI WA ARSENAL SIKU YA KWANZA Pierre-Emerick Aubameyang ametua Arsenal kwa dau la pauni milimi 56 na tayari ametambulishwa mbele ya Kocha Arsene Wenger. Baada ya hao akaingia katika picha mbalimbali akiwa na uzi wa Arsenal na mwenye akijidai vilivyo.
0 COMMENTS:
Post a Comment