January 24, 2018


Kocha Msaidizi wa Mwadui FC, Jumanne Ntambi amefariki dunia mjini Shinyanga.
Ntambi ambaye ni mchezaji wa zamani wa Biashara Shinyanga, amefariki katika Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga.
Taarifa zinasema aliugua muda mfupi na alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo ambao aliugundua katia hatua a mwisho kabisa.


Hadi mauti yanamkuta jana saa tatu usiku, marehemu alikuwa mwajiriwa wa klabu ya Mwadui FC ambayo uongozi wake umethibitisha kuhusiana na msiba huo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic