February 23, 2018




Licha ya kupoteza, Arsenal imesonga mbele katika UEFA Europa League baada ya kufungwa mabao 2-1 dhidi ya Ostersund FC kutoka Sweden.

Ushindi wa Ostersund haukuwa na maana, baada ya Arsenal kufanikiwa kuwa na aggregate ya 4-2 baada ya mchezo wa awali kufungwa mabao 3-0.

Kwa matokeo haya sasa Arsenal imesonga mbele mpaka hatua ya 16 bora.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic