Alexis Sanchez ameifungia Man United bao lake la kwanza katika Ligi kuu England au EPL.
Sanchez ambaye amejiunga na timu hiyo akitokea Arsenal, amefunga bao la pili Man United ikishinda 2-0 dhidi ya Brighton.
Katika mechi hiyo iliyochezwa kwenye Uwanja wa Old Trafford, bao la kwanza la Man United lilifungwa na Romelu Lukaku.
0 COMMENTS:
Post a Comment