February 22, 2018


Pamoja na kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi RB Leipzig ya Ujerumani, Napoli imeng’olewa katika michuano ya Europa.

Mabao ya Piotr Zielinski na Lorenzo yameipa ushindi Napoli lakini imeng’oka katakana na kipigo cha mabao 3-1 ilichokipata ikiwa nyumbani Italia.

Hivyo ushindi wa mabao 2-0 genii, haujaisaidia timu hiyo ya Italia kusonga mbele.





 



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic