March 4, 2018


Na George Mganga

Kikosi cha Simba kimeanza mazoezi rasmi ya kujiwinda dhidi ya Al Masry SC katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika.

Simba wameanza mazoezi hayo katika uwanja wa Bocco Vetarani uliopo pembezoni kidogo mwa jiji la Dar es Salaam.

Simba wataingia kucheza mchezo huo baada ya kuwaondoa Gendarmarie Nationale FC ya Djibout kwa mabao 5-0.

Mechi hiyo itapigwa saa 12:00 jioni Machi 7 2018 katika Uwanja wa Taifa.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic