March 4, 2018


Na George Mganga

Vinara wa Ligi ya Botswana, Township Rollers wamewasili nchini majira ya mchana wa leo kwa ajili ya mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Yanga.

Township Rollers wamewasili wakiwa na kumbukumbu ya kusonga mbele kufuatia kuwaondoa AL Merrikh kwa mabao 4-2.

Mchezo dhidi ya Yanga utapigwa Machi 6 2018 katika Uwanja wa Taifa, kuanzia saa 10:00 jioni.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic