March 4, 2018



Na George Mganga

Uongozi wa klabu ya yanga umetangaza viingilio vitakavyotumika katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Township Rollers kutoka Botswana.

Viiingilio vya mechi hiyo vitakuwa kama ifuatavyo;-

VIP A - 20,000/=
VIP B & C - 10,000/=
Mzunguko - 5,000/=

Mechi hiyo itachezwa Jumanne ya Machi 6 2018 katika uwanja wa taifa, kuanzia saa 10:30 jioni.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic