March 5, 2018


Na George Mganga

Uongozi wa klabu ya Singida United umetoa pongezi kwa wachezaji wao kuitwa kujiunga na kikosi cha timu ya taifa chini ya miaka.

Wachezaji hao wameitwa kwa ajili ya kujiunga na timu ya taifa kwa ajili ya mechi za kufuzu kuelekea AFCON (U20) mwaka 2019.

Kupitia ukurasa wao wa Twitter, Singida United wamethibitisha taarifa hii.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic