April 13, 2018



Droo ya timu zitakazocheza hatua ya nusu fainali ya UEFA Europa League tayari imeshapangwa ambapo Arsenal itakutana na Atletico de Madrid ya Spain.

Arsenal ilifuzu kuingia hatua hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa jumla ya mabao 6-3 dhidi ya CSKA Moscow ya Urusi.

Arsenal wataanzia nyumbani Aprili 26 kwa mechi ya mkondo wa kwanza kabla ya kurudiana na Atletico May 3 2018.

Mbali na Arsenal, Marseille ya Ufaransa pia imepangwa kucheza na Salzburg ya Ujerumani kucheza hatua hiyo ya rnusu fainali.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic