April 15, 2018



Kikosi cha Yanga kimeondoka asubuhi ya leo kuelekea Ethiopia kwa ajili ya mechi ya Kombe la Shirikisho dhidi ya Wolaitta Dicha FC.

Mchezo huo wa marudiano utapigwa Jumatano ya Aprili 18 2018 nchini humo.

Hawa hapa ni wachezaji walioondoka katika msafara wa leo

Makipa, Youthe Rostand na Benno Kakolanya.

Mabeki ni Hassan Kessy, Juma Abdul, Haji Mwinyi, Gadiel Michael, Abdalah Shaibu, Kelvin Yondani na Nadir Haroub.

Viungo ni Raphael Daudi, Papy Tshishimbi, Pius Buswita, Said Juma, Thaban kamusoko, Yusuph Mhilu, Geofrey Mwashiuya na Emmanuel Martin.

Washambuliaji ni Obrey Chirwa, Juma Mahadhi na Yohana Mkomola.



2 COMMENTS:

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic