Mwili wa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Rose Mndenye ( 31) anayedaiwa kuuawa na mume wake kwa kile kinachodaiwa ni sababu za wivu wa mapenzi umeagwa leo Kisasa mkoani Dodoma.
Baada ya kuagwa umesafirishwa kwenda kuzikwa nyumbani kwao mkoani Njombe.
Poleni sana nyingi wote ambao mmeguswa na msiba wa mhadhiri huyu. Kwa kweli pamoja na ubinadamu wetu sasa hasira za mapenzi ndo zimeokoa nini kwenye ndoa ya huyu jamaa?
ReplyDeleteMsomi na umri mdogo leo ametutoka kwa ajili ya hasira za mapenzi inauma sana. Kwa mpendwa wetu Rose Mndenye, Mungu akusamehe makosa yako na kupokelewa kwenye ufalme wake.
Raha ya Milele umpe Eee Bwana na Mwanga wa Milele, umwangazie, apumzike kwa amani.Amina.
Protas-Iringa