June 23, 2018


Mchezo wa kundi F katika michuano ya Kombe la Dunia Urusi, umemalizika kwa Korea Kusini kufungwa mabao 2-1 na Mexico.

Mabao ya mchezo huo yamewekwa kimiani na Carlos Vela dakika ya 26 kwa njia ya penati pamoja na Xavier Hernandez kwenye dakika ya 66.

Bao pekee la Korea limewekwa kimiani na Song Heung mnamo dakika ya 90 zikiwa zimeongezwa tatu mpira kumalizika.

Mechi nyingine ya kundi F inayosubiriwa kwa hamu na wadau wengi wa soka duniani, ni baina ya Sweden na Ujerumani itakayoanza saa 3 kamili usiku huu.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic