July 2, 2018



Uongozi wa Lipuli FC utahakikisha beki wake mkongwe Joseph Owino raia wa Uganda haondoki.

Lipuli FC inataka kumbakiza Owino ili kuimarisha kikosi chake lakini imeonekana kuwa na hofu.

“Unajua wachezaji wamekuwa wakichukuliwa tu, lakini wako bado tunawahitaji, Owino tunataka abaki.

“Baada ya kumalizana na Owino, tutaangalia wengine tunaowahitaji na wale watakaoongezwa,” kilieleza chanzo.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic