July 1, 2018





Croatia imetinga robo fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuifunga Denmark anayochezea Yussuf Poulsen kwa penalti 3-2.

Hii ni baada ya mechi kwisha kwa dakika 120 kukiwa na sare ya bao 1-1, yote mawili yakiwa yamefungwa ndani ya dakika 4 za mwanzo.

Mikwaju ilikuwa na burudani kubwa huku makipa wa kila upande wakionyesha ujuzi wa kupangua penalti.

Ivan Raktic ndiye aliyemalizia mkwaju wa mwisho na kuimaliza Denmark ambayo ilionekana kama ina nafasi ya kusonga baada ya kipa wake, Kasper Schmeichel kuonyesha ujuzi akipangua penalti mfululizo.


PENALTI:
    • Ivan Rakitic (Croatia) - SCORED (Denmark 2 Croatia 
    • Nicolai Jorgensen (Denmark) - SAVED (Denmark 2 Croatia 2)
    • Josip Pivaric (Croatia) - SAVED (Denmark 2 Croatia 2)
    • Lasse Schone (Denmark) - SAVED (Denmark 2 Croatia 2)
    • Luka Modric (Croatia) - SCORES (Denmark 2 Croatia 2)
    • Michael Krohn-Dehli (Denmark) - SCORES (Denmark 2 Croatia 1)
    • Andrej Kramaric (Croatia) - SCORES (Denmark 1 Croatia 1)
    • Milan Badelj (Croatia) - SAVED (Denmark 0 Croatia 0)
    • Christian Eriksen (Denmark) - SAVED (Denmark 0 Croatia 0)







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic