July 16, 2018



Roma akiimba na mashabiki wimbo wake wa Mathematics Dar Live
Mashabiki wakiimba na Roma wimbo wa Zimbabwe
Roma akiwapagawisha mashabiki waliofurika.

MKALI wa Hip Hop Bongo, Roma Mkatoliki alikuwa miongoni mwa wakali wa Hip Hop waliokinukisha ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live baada ya kupanda na kuimba nyimbo zake zote kali.

Mshabiki walionesha kupagawa baada ya kuingia na kuimba Wimbo wa Zimbambwe ambapo kila mmoja alikuwa akiimba naye. Ngoma nyingine zilizotikisa ni pamoja na Mathematics na Tanzania.

PICHA: RICHARD BUKOS | GPL

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic