August 18, 2018

3 COMMENTS:

  1. Lechantre ache kuongea sana huko uliko. Kocha msaidizi Djuma ndiye aliyekubeba kwenye ushindi wa Simba ulipokuwepo. Kukusaidia kujua wachezaji wa kuwapanga kikosini kama ilitokea labda kama wewe mwenyewe unajivuruga na kujichanganya, unakumbuka kwenye mchezo wa VPL ulipotaka kumtoa kichuya uwanjani ambapo alikuwa akicheza vizuri mpaka wachezaji wenyewe na mashabiki walipopinga kwa kutoa ishara na kupiga kelele ndipo Kichuya aliachwa aendelee na mchezo.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Sasa kama viongozi walimpangia kikosi cha kucheza na ndicho kimechukua ubingwa basi viongozi wanastahili kupongezwa maana kuingilia kwao kati kumeleta tija. Lakini nachojua mimi hiyo sio kweli. Kiongozi Simba hawamuingilii kazi Kocha.

      Delete
  2. viongozi wa semba wana tabia mbaya sana wanajifanya wao wanajua kuliko makocha halafu timu ikifanya vibaya mzigo unamwangukia kocha tuache kuwatetea hii si mara ya kwanza makocha kulalamika kuingiliwa majukumu yao

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic