September 4, 2018





WIKI HII NDANI YA DStv!!
Mashindano mapya kabisa ya UEFA Nations League yanaanza kutimua vumbi wiki hii huku pazia likifunguliwa na magwiji wawili wa Soka siku ya Alhamisi. 

Ambapo Ufaransa (Mabingwa wa Dunia) watacheza dhidi ya Ujerumani (Mabingwa wa Dunia waliopita). Kisha kuendelea na Albania dhidi ya Israel siku ya Ijumaa, huku Italy ikiikaribisha Poland siku hiyo hiyo ya Ijumaa na kumaliziwa na Turkey vs Russia.


Jumamosi Switzerland itacheza dhidi ya Iceland, Finland vs Hungary wakati England wakicheza dhidi ya Spain. Na siku ya Jumapili Germany itacheza dhidi ya Peru, France itacheza dhidi ya Netherlands, Bulgaria vs Norway Na Denmark vs Wales!


Mechi hizi zote utazipata ndani ya DStv kuanzia kifurushi chako cha Bomba kwa sh.19, 000 tu!


Bila kusahau Jumamosi hii, DStv inakuletea mtanange wa kukata na shoka pale Uganda (The Cranes) watakapozichapa na timu yetu ya Taifa Tanzania yaani Taifa Stars. Macho Na masikio tutayaelekeza Uganda, tarehe 8/9/18 ndani ya Supersport 8 ya kifurushi Bomba kwa sh.19, 000 tu ndani ya DStv pekee!


Moto Hauzimi na kama Sio DStv Potezea!

2 COMMENTS:

  1. Kiswahili lugha yetu lakini Mwandishi unakosea sana. Anasema The Cranes watakapozichapa na timu yetu ya Taifa Tanzania. Timu za Mpira zinapocheza HAWAZICHAPI. Huu sio mchezo wa Ngumi hão ódio wanazichapa. Ungeweza kusema WAKIPAMBANA, au WAKIKIPIGA, au WAKIUMANA au WAKICHEZA lakini sio WAKIZICHAPA, Hapana.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Lakini ujumbe si umefika na umeeleweka vizuri..??

      Delete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic