SAMATTA, ULIMWENGU, MANDAWA WAUNGANA NA KIKOSI STARS, WAANZA MAZOEZI Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ameungana na wenzake katika mazoezi ya timu hiyo. Samatta anayechezea KRC Genk ameanza mazoezi na wenzake akiungana pia na Thomas Ulimwengu ambaye anacheza Al Hilal pamoja na wengine wanaocheza nje ya nchi.
0 COMMENTS:
Post a Comment