SPOTI HAUSI: KIKOSI CHA YANGA KITAKACHOANZA JUMAPILI VS SIMBA HIKI HAPA – VIDEO
Jumapili kutakuwa na mechi kali ya Simba na Yanga kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Tayari kumekuwa na tambo nyingi kutoka kwa mashabiki wa timu zote huku kila mmoja akiamini kuwa timu yake ina uwezo wa kupata ushindi.
Leo kipindi cha Spoti Hausi tutakuwa na mashabiki wa Tawi la Simba la Ubungo Terminal na wale wa Yanga Mbezi Beach, huku kila mmoja akiamini kuwa timu yake inaweza kuibuka na ushindi.
TIMU YANGA KALI SANA
ReplyDeleteMfalume wa polini simba lazima alalue kiumbe Taifa By Vanydizo
ReplyDeleteSimba ndo dawa yenu! Tukutane Taifa j pili
ReplyDeleteYanga mutapata tabu sana taifa
ReplyDeleteYanga mutapata tabu sana taifa
ReplyDelete