Simba imeamua kutengeneza uhakika upande wa kulia katika ulinzi.
Beki wa kulia kutoka Ivory Coast Zana Coulibaly anatarajia kuwasili jijini Dar Es Salaam leo tayari kwa kujiunga na Simba Sc. .
.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye ukurasa wa instagram wa klabu hiyo @simbasctanzania umesema beki huyo ni mbadala wa Shomari Kapombe ambaye anaonekana kupata majeraha mara kwa mara. .
.
Beki huyo mwenye umri wa miaka 26 alikuwa akikipiga katika klabu ya Asec Mimosas ya nchini kwao Ivory Coast.
Poa
ReplyDeletePoa
ReplyDeleteGood
ReplyDelete