November 28, 2018






Klabu ya Singida United imefanikiwa imefanikiwa kumnasa kinda wa timu ya Taifa (U-23) ya Zambia Jonathan Daka.

Jonathan anayecheza nafasi ya kiungo ameingia kandarasi ya kuitumikia Singida United kwa mkataba wa miaka mitatu(3). Usajili huu umelenga kuimarisha kikosi, zaidi kuelekea @tzsportpesa Cup inayotegemea kuanza January 22 /2019.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic