Kocha Mkuu wa Mbabane Swallows, amefunguka machache baada ya timu yake kulazwa mabao 4-1 dhidi ya Simba katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, msikilize hapa.
Nyie jamaa wa hovyo sana!! Huyu kocha kasema kuwa imekuwa bahati mbaya kwao kutokana na goli walilopata Simba nyie mnawadanganya watu kuwa kausifia mziki wa Simba!! Kama hamjui lugha ni bora kukaa kimya tu...
Nyie jamaa wa hovyo sana!! Huyu kocha kasema kuwa imekuwa bahati mbaya kwao kutokana na goli walilopata Simba nyie mnawadanganya watu kuwa kausifia mziki wa Simba!! Kama hamjui lugha ni bora kukaa kimya tu...
ReplyDelete