December 12, 2020

 




FT: Mwadui 0-5 Yanga
Uwanja wa Kambarage 

Zinaongezwa dk 3
Dakika 90 Sarpong anafanya jaribio linaokolewa na Mbise
Dakika ya 80 Mukoko anaonyeshwa kadi ya njano 
Dakika ya 79 Kisinda anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 69 Lamine Moro goaaaaaal
Dakika ya 60 Kaseke nje ndani Niyonzima 
Dakika ya 62 Metacha anapewa huduma ya kwanza
Dakika ya 56 Kisinda goal 
Goal Yacouba dk 48
Kipindi cha pili 
Mapumziko 
Mwadui 0-2 Yanga
Dakika 3 zimeongezwa
Dakika ya 45 Mbise anaokoa hatari ya Tonombe Mukoko 
Dakika ya 43 Kisinda anapiga  kona inaanuliwa na Mwadui 
Dakika ya 42 Lamine Moro anapeleka mashambulizi 
Dakika ya 37 Kibwana Shomari anacheza faulo 
Mwadui 0-2 Yanga
Dakika ya 32 Lamine Moro anapewa huduma ya Kwanza 
Dakika ya 31 Yacouba anapiga  faulo

Dakika ya 30 Toto anachezewa faulo 
Dakika ya 28 Tonombe anapiga kona
Dakika ya 21Kibwana alimwaga maji hayakuzaa matunda 
Dakika ya 17 Toto anapiga kichwa ndani ya 18 kinamwenda nje

Dakika ya 13 Gooooooal Yacouba Songne 
Dakika ya 12 Ismail Ally anaotea kwa Mnata
Dakika ya 9 Kaseke on target inaokolewa na kipa wa Mwadui Mbisse
UWANJA wa Kambarage 

Ligi Kuu Bara 

Mwadui 0-1 Yanga


Goal Deus Kaseke dk 6

Dakika ya 3 Yacouba of target 

Dakika ya 2 Kaseke ameotea

8 COMMENTS:

  1. Timu ya Wananchi gari kimeanza kupata moto

    ReplyDelete
  2. Wapi wachungulia usajili Wananchi twaja

    ReplyDelete
  3. Kipofu kaona mwezi kwani pointi 37 tumepewa na Tume ya Uchaguzi,au Bodi ya Ligi ila wapenzi wa mikia mjue pointi tatu za Namungo na Yanga Kichuya ,alicheza na angalizo mmetangaziwa jua na joto kali miezi minne na club yenu mnakula viroba Sana .Kwa kauli yako na uhalisia wa msimamo wa Ligi inawezekana hata wewe una miaka hamsini na hujaoa Kama aliyeoa Jana

    ReplyDelete
  4. Na ukitaka kujua
    Mlivyokwazikwa na matokeo muulize Baraka mpenja mpaka sauti imekufa

    ReplyDelete
  5. Kibonde mwadui kweli ndio gari limewaka au gari limemgonga mlevi?

    ReplyDelete
  6. Washuke tu kwa kweli sio kwa rundo la mabao mwaka huu,JKT kampiga sita wala hakujisifu kama sisi wa tano

    ReplyDelete
  7. Jkt in pointi mbili tofauti na Mwadui ,Basi tupunguze goli mbili kwa Bocco cse alifunga mbili kwa Kibonde

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic