December 31, 2018

3 COMMENTS:

  1. Sikuona ulazima wa Simba kushirikishwa kwenye mapinduzi cup wakati kuna timu kadhaa wa kadhaa wa kuziba nafasi yake ili kuwapa Simba utulivu zaidi wa kujiandaa na klabu bingwa Africa.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mkipangwa mnalalamika na Msipopangwa pia mnalalamika,sijui wabongo mkoje...
      Kwani haya mashindano ya club bingwa africa mwaka huu ndio ya kwanza kufanyiak?
      Na nyie kama club hamna ratiba ya mwaka mzima kuonyesha lini mnatakiwa kujiandaa kwa mashindano eidha ya ndan au ya nje....

      Delete
  2. simba wanadai wana kikosi kipana wawapeleke watt wao bas

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic