VIDEO: KIONGOZI WA JUU MPYA YANGA ALIVYOANZA KAZI NA MKWARA
Kikao cha Kamati ya utendaji ya klabu ya Yanga kilichokaa jana asubuhi kimewateua Samuel Lukumay kuwa Kaimu Mwenyekiti na Siza Lyimo akiteuliwa kuwa Kaimu Makamu Mwenyekiti wa Klabu hiyo.
Kamati hiyo imefikia maamuzi hayo kutokana na nafasi hizo kuwa wazi na sasa Lukumay atashikilia nafasi hiyo mpaka mwenyekiti Yusuph Manji atakapolejea katika majukumu yake mwakani.
0 COMMENTS:
Post a Comment